0
Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka. 
Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825 
Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54 
Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74. 

SHULE KUMI (10) BORA KITAIFA

1. Igowole 
2. Feza Boys 
3. Kisimiri 
4. Iwawa 
5. Kibaha 
6. Marian Girls 
7. Nangwa 
8. Uwata 
9. Kibondo 
10. Kawawa


SHULE KUMI (10) ZA MWISHO KITAIFA

1. Ben Bella 
2. Fidel Castro 
3. Tambaza 
4. MuhezaHigh School 
5. Mazizini 
6. Mtwara Technical 
7. Iyunga technical 
8. Al- falaah Muslim 
9. Kaliua 
10. Osward Mang'ombe 

Post a Comment

 
Top